Friday, February 8, 2008

Mwanamke anaweza kufanya maajabu akipewa nafasi, tujifunze kutoka kwa hawa walioonesha mafanikio

Napenda kutoa heshima zangu pia kwa hawa waliotunukiwa zawadi hizi, tukianzia na Kaka Michu mpaka wa mwisho pale chini, dada zangu naomba niwapongeze kwa juhudi na maalifa yenu. Mmekuwa mashahidi kwa watu kwa kuwajulisha kuwa mwanamke akipewa nafasi anaweza pia kufanya makubwa kuliko alivyofikiriwa. Asanteni Ndugu zangu.

Tuzo za redd's kwa waliochakarika
Issamichuzi.blogspot.com hapo juu
upendo wa multichoice
nandi mwiombela bosi wa jarida la flare
khadija mwanamboka mwanamitindo na mbunifu wa mavazi
fina mango mtangazaji clouds fm 88.4fm
pusi muntrhali bosi wa advertising dar

mlimbwende flaviana matata miss universe tz 2007
olivia lugeleka bosi wa jarida la excel

msanii Lady jd
Irene kiwia bosi wa face of tanzania


Nancy sumari miss tz na miss world africa 2006
Jikate mwegelo Wema Sepetu
Rehema ngusaru bosi wa upasuji (operations ndo inaitwa hivyo?) wa gtv

juu Rita Paulsen bosi wa benchmark production
na chini ni mbunifu wa mitindo hilda bandioKatika kuadhimisha siku ya wapendanao mwaka huu Redd's imewatunukia tuzo ya utambuzi wa kazi zilizotukuka wanawake kadhaa mashuhuri pamoja na globu hii katika sherehe fupi ilofanyika jana hoteli ya holiday inn, dar. mgeni rasmi alikuwa balozi wa redd's victoria martin na mrtibu alikuwa 'kiongozi' mpeli nsekela

No comments: