Friday, February 22, 2008

Mafanikio yanakujaje?

Wengi tunajiuliza hivi mafanikio yanakujaje?
Sijambo rahisi mtu kulala na kuamka asubuhi na kujikuta umekuwa Tajiri, hii ni ndoto, wengi wetu hatujishughulishi tunategemea kila kitu kinapatikana kwa urahisi.

Wahenga wanamisemo kama hii, fanya kazi kama mtumwa ili uishi kama Tajiri. Mtegemea cha nduguye hufa masikini. Ni kweli kwani hutakuwa na ma wazo mapya ya kuanzisha cha kwako.
Tuige mifano baadhi ya wasanii walioonesha msimamo wao katika maisha. Hii iwe changamoto kwako na kwangu.

Nyumbani kwa akina nanihii...











No comments: