Sunday, February 10, 2008

Mheshimiwa Jk na Waziri Mkuu Pinda

Waziri Mkuu mpya akiwa katika pozi na Mheshimiwa Jk, kichwa cha watanzania bara na visiwani, katika kuhakikisha maisha bora kwa watu wote. Swali langu ni hili Je, ndoto yake ya maisha bora kwa kila Mtanzania itatimia?

Bega kwa bega

No comments: