Thursday, February 21, 2008

Jiji la Moshi

Usafi ni tabia
Nimeongelea kidogo huko nyuma kwamba ukiyatunza mazingira unaitunza afya yako na ni uhai pia. Kweli hapa tunajionea wenyewe ukweli halisi ni upi je hivi huoni kama inapendeza na wewe ukawa chachu ya kutunza mazingira na kuyaweka katika usafi wa namna hii?

MOSHI

Safari ya Moshi














No comments: