Wednesday, January 23, 2008

You are Luck to have me as your friend

Fahamu kwamba kumpata rafiki atakaye kafaa katika shida na raha si jambo rahisi, inategemea sana msaada wa Mungu na nguvu ya Roho Mtakatifu kukuonesha mtu sahihi wa kufaa kuishi naye au rafiki atakaye weza kukuelewa vilivyo.

Hebu chukulia kwamba uliye naye sasa ndiye rafiki wa kweli, ikiwa kunatofauti baina yenu mziongelee ili kuwekana sawa.

Mambo 6 yanayowapagawisha wanaume

Hutampata aliyebora au kutokuwa na mapungufu zaidi ya huyo uliyenaye mfanye huyu abadili mwelekeo wake wa maisha ili awe wakukufaa wewe, usiende kutamfuta mwingine utakayemtegemea kuwa atakuwa bora zaidi, cha msingi nikumbadili huyu kuwa mtu wa kupendeka.

Mpe nafasi awezekubadili mwelekeo wake wa maisha, kwa kufanya hivyo utakuwa umempata rafiki wa kukufaa wewe katika maisha iwe ya raha au ya taabu.


Hapa najaribu kukuletea baadhi ya kweli katika maisha, zina unaujumbe mrua sana kama utazingatia na kwa namna hiyo basi kuboresha uhusiano wako na wale tuwapendao.Ndugu yangu wewe upo wapi?

Uwe mvumilivu ukiona picha hazionekani basi jaribu kufungua wakati mwingine utapata picha pamoja na ujumbe wake. Kumradhi msomaji wangu.


FunAndFunOnly (www.mails4u.net.tc) - SridhaR



People come into your life for a REASON, A SEASON or A LIFETIME.

When you know which
one it is, you will know what to do for that person.

When someone is in your life for a REASON, it is usually to meet a need you have expressed.

They have come to assist you through a difficulty, to provide you with guidance and support,to aid you physically, emotionally or spiritually.

They may seem like a godsend and they are. They are there for the reason you need them to be.

Then, without any wrongdoing on your part or
at an inconvenient time, this person will say or do something to bring the relationship to an end. Sometimes they die. Sometimes they walk away. Sometimes they act up and force you to take a stand.

What we must realize is that our need has been met, our desire fulfilled, their work is done. The prayer you sent up has been answered and now it is time to move on.

Some people come into your life for a SEASON, because your turn has come to share, grow or learn.They bring you an experience of peace or make you laugh.They may teach you something you have never doneThey usually give you an unbelievable amount of joy. Believe it, it is real. But only for a season.


FunAndFunOnly (www.mails4u.net.tc) - SridhaR

LIFETIME relationships teach you lifetime lessons, things you must build upon in order to have a solid emotional foundation.

Your job is to accept the lesson,
love the person and put what you have learned to use in all other relationships and areas of your life.

It is said that
love is blind but friendship is clairvoyant.


FunAndFunOnly (www.mails4u.net.tc) - SridhaR

Thank you for being a part of my life, whether you were a reason, a season or a lifetTime.


Na hawa watoto wanajaribu kuonanesha upendo wao, Wahenga walisema mtoto umleavyo ndivyo akuavyo.
Je, wewe familia yako unailea katika mwelekeo upi. Unawapa elimu ya kujua kujitegemea kwa maisha yao ya baadaye?
Au unafikiri si jukumu lako kuwatekelezea hilo kwa sababu wewe huku tekelezewa hilo na wazazi wako? Ndugu yangu ikiwa unafanya hivyo unawanyima haki yao ya msingi ya kupata Elimu. Huja chelewa baridi mawazo yako sasa na uanze kuwasomesha hao watoto sasa.




FunAndFunOnly (www.mails4u.net.tc) - SridhaR








No comments: