Sunday, January 20, 2008

Upendo wa kweli

Kila mmoja wetu natumaini angetamani sana au ajue ukweli kuhusu marafiki na wapendwa wetu, basi huu ndiyo ukweli kuhusu upendo.

Mtu anaweza kujiuliza maswali mengi kuwa hivi rafiki wa kweli ni nani, na huenda akaendelea kujihoji rafiki wa kweli anakuwa na ishara gani, basi kwa ujumla tunakuwa na maswali mengi vichwani mwetu kuhusu ukweli juu ya yupi ni rafiki wa kweli.

Basi hapa chini nimekuletea dondoo ambazo zitawezakukusadia kujua yupi ni rafiki wa kweli na utampata wakati gani, na anasifa gani.

Mpendwa msomaji usichukue muda mwingi kuumiza kichwa kutafuta majibu ya yupi anaupendo wa kweli pia haya maelezo yanaweza kukupa picha halisi ya yupi ni mtu wa kuthaminiwa.

Ikiwa mtu anajitoa kwa ajili ya kuokoa maisha yako je wewe hupaswi kujitoa kwa ajili ya kuokoa maisha yake pia?

Na usipo fanya hivyo wewe utakuwa unashukrani ya punda kwani unatendewa mema lakini huonji wema, unachokirudisha kama fadhila ni maumivu kwa wema niliyokuetendea, jiulize wangapi wamenitendea mema na mimi badala yake ni melipa nini!

Nakutakia mafanikio mema katika kuukuza urafiki wako na yule umpendaye au na wale uwapendao.

Dondoo zenyewe


www.FunAndFunOnly.net (SridhaR)


www.FunAndFunOnly.net (SridhaR)
www.FunAndFunOnly.net (SridhaR)
www.FunAndFunOnly.net (SridhaR)
www.FunAndFunOnly.net (SridhaR)
www.FunAndFunOnly.net (SridhaR)
www.FunAndFunOnly.net (SridhaR)





No comments: