skip to main | skip to sidebar

Mtazamo wangu

Wednesday, January 30, 2008

Mifano katika maisha hufundisha mengi

Katika maisha hatuhitaji kusema mengi ili kuwaongoza au kuwafundisha watu, mala nyingine tuwape tu mifano. Kutokana na hiyo mifano watajifunza maisha ni nini.

Hebu mshudie huyu hapa chini. Anatoa somo suri sana la kujithamini na anatoa nguzo katika humili vikumbo katika maisha ambavyotunakutananavyo au kusababishiwa.

www.FunAndFunOnly.net (SridhaR)

ONE PARAGRAPH THAT EXPLAINS LIFE!


Arthur Ashe, the legendary Wimbledon player was dying of AIDS which he got due to infected blood he received during a heart surgery in 1983.


From world over, he received letters from his fans, one of which conveyed: "Why does GOD have to select you for such a bad disease"?


To this Arthur Ashe replied:

" The world over -- 50 million children start playing tennis, 5 million learn to play tennis,

500,000 learn professional tennis, 50,000 come to the circuit, 5000 reach the grand slam, 50 reach Wimbledon, 4 to semi final, 2 to the finals,


when I was holding a cup I never asked GOD 'Why me?'.

And today in pain I should not be asking GOD 'Why me?' "

Happiness keeps you Sweet,

Trials keep you Strong,

Sorrow keeps you Human,

Failure keeps you humble and Success keeps you glowing, but only Faith & Attitude Keeps you going...
Posted by Kaka Mathias at 11:21 AM

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Mathias

Mathias
Nakaribisha maoni na mchango wako wa mawazo, ili tuwewapana katika kupambana na magumu tukutanayo katika maisha.

Blog Archive

  • ►  2009 (1)
    • ►  August (1)
  • ▼  2008 (32)
    • ►  April (1)
    • ►  March (6)
    • ►  February (16)
    • ▼  January (9)
      • Mifano katika maisha hufundisha mengi
      • You are a unique Person
      • Wema na ubaya wa mtu
      • You are Luck to have me as your friend
      • Jitahidi uwe sababu ya mwingine kuwa na furaha
      • Whom you Love, and Whom you Like
      • Tofauti baina ya Kumjua na kumfahamu mtu
      • Endelea kufaidi dondoo nyingine Juu ya mahusiano k...
      • Upendo wa kweli

About Me

My photo
Kaka Mathias
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26, na niko single, naomba unipokee vile nilivyo na mfumo niliyojichagulia katika maisha. Napenda sana kusoma, Lengo ni kuwa na ufahamu mpana katika kuchambua mambo, siwezi kujua kala kitu lakini napenda nifahamu walau kitu furani. Naomba uwe huru kuchangia mawazo yako, na kukosoa pale panapohitajika kukosoa maana wengine hawafahamu maana ya kumsahisha mwingine alipokosea wanataka afanye yale ambayo wanayataka wao, sasa huko ndugu yangu nikutaka kunifanya mimi niwe wewe na kumbe haiendi hivi mimi ni mimi na wewe ni wewe, hatuwezi kufanana hata siku moja, tunaweza kuwiana ktk kufikiri. Lakini hatuwezi kulandana katika mawazo, yaani vile unavyofikiri wewe na mimi nifikiri vivyo hivyo na kwa wakati ule ule, hilo aliweza Mungu tu, na Malaika. Ndiyo maana kila mwanadamu ameumbwa peke yake hakuna wa kumfananishwa naye, tunachanganya tu mara ooh huyu anafanana na yule. Kwa nini tusiseme kuwa huyu ni yule na tunatumia neno huyu anafana na yule. Hii yote ni kumainisha kwamba hakuna anayefanana na mwingine, kwa sura au kwa tabia watu wote ni tofauti, wana wiana katika mambo machache tu. Nakutakia usomaji mwema.
View my complete profile